Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Nahisi enzi hizo huko uswahilini itakuwa ndiyo ilikuwa balaa kabisa. Amekaa kama wale wa kupewa kiepe yai na kuondoka naye.hiyo ya juu nadhan mikurungu ilikua haijapitapita sana
Dooooh uswazi unapajua kweli ? Amini hapo ndio kalika zaidi ya sasa hivihiyo ya juu nadhan mikurungu ilikua haijapitapita sana
Nahisi enzi hizo huko uswahilini itakuwa ndiyo ilikuwa balaa kabisa. Amekaa kama wale wa kupewa kiepe yai na kuondoka naye.
A good question.Is she rich?