raphael andrew
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 817
- 938
inahusu nn?Kuna ile inaitwa SILO ipo njema piaa aisee
wenda kifo ndo way outEpisode ya wiki hii imeisha na kuniacha na maswali kama buku,
shukhran mkuu uzi huu unamaana kubwa sana hasa kwa upande wangu napenda sana movies za kutisha especially series kama hizo huwa sipat usingizi bila kuziangalia .......Series inahusu mji mdogo ambao ukijichanganya tu kuingia unashindwa kutoka yaani unakua umekwama na huwezi kuondoka kwa namna yoyote.
Na balaa zaidi ni usiku kuna viumbr wanakuja, haitakiwi kuacha sehemu yoyote wazi kwenye nyumba yako. Mzigo una seasons 02 ambazo ni complete.
Cha zaidi nilichokipenda ni soundtrack ya hii movie ni kawimbo flani hivi katamu sana
CC: Fahamu movies IG View attachment 2669903
[emoji1754]shukhran mkuu uzi huu unamaana kubwa sana hasa kwa upande wangu napenda sana movies za kutisha especially series kama hizo huwa sipat usingizi bila kuziangalia .......
Tujuze na series nyingine kali kama hizi.! kiufupi umetisha sanaSeries inahusu mji mdogo ambao ukijichanganya tu kuingia unashindwa kutoka yaani unakua umekwama na huwezi kuondoka kwa namna yoyote.
Na balaa zaidi ni usiku kuna viumbr wanakuja, haitakiwi kuacha sehemu yoyote wazi kwenye nyumba yako. Mzigo una seasons 02 ambazo ni complete.
Cha zaidi nilichokipenda ni soundtrack ya hii movie ni kawimbo flani hivi katamu sana
CC: Fahamu movies IG View attachment 2669903
Haya kwa maneno yako utakuwa umeangalia series nyingi sana za kutisha.( na mimi ndiyo ugonjwa wangu) fanya kudondosha majina ya series za kutisha nzurishukhran mkuu uzi huu unamaana kubwa sana hasa kwa upande wangu napenda sana movies za kutisha especially series kama hizo huwa sipat usingizi bila kuziangalia .......
FROM ni series moja kali sana.
Ngoja tuone mwisho wake utakuaje
Inahusu nini??Season imeisha. Icheck na Yellowjackets pia ni mtambo
Gangs of london kuna mbongo mwenzetu humo anakichafua,hivi season 2 ishatoka?Rings of power
The night agent
Citadel
Shadow and borne
Gangs of london
Tafuta hizo utanishukuru
Ndege iliyobeba wanafunzi ilidondoka kwenye msitu mkubwa wakashindwa kutoka kutokana na mauzauza ya kwenye msitu huo, ila kuna waliweza kutoka. Sasa dunia inawauliza waliwezaje angali wengine wamekufa? (Hiyo ni siri nzito sana baina yao wanafunzi, na hapo wameshakuwa wakubwa wengine wameoa wengine wamelewa)Inahusu nini??
Gangs of london kuna mbongo mwenzetu humo anakichafua,hivi season 2 ishatoka?i
Gangs of london sio series ya kutisha,inahusiana na makundi ya wahuni wa mji wa london kwenye umafia,drugs nkNi series za kutisha au?