From the contracts signed Yesterday, President Magufuli is Genius

U scratch my back n am scratching yours.

This is the point chief
 
Mkuu mbona mm naona makubaliano tu ndio Mengi ? Ninavyojua mkataba unakuwa na "Legal binding" Je,vp kuhusu makubaliano ?
 
Morocco haikuondolewa AU(OAU wakati huo) bali ilijiondoa sababu hawakuungwa mkono na kitendo chake cha kui-colonize Sahara Magharibi msimamo ilikuwa ni kuwa WAIACHIE ijitawale.

Tanzania ilikuwa na msimamo sawa na nchi za kwenye UMOJA huo.

Waziri Mahiga bado kasema MSIMAMO wa tz ni ULE ULE wa miaka ILEEE "MOROCCO FREE WESTERN SAHARA.

Kwa hiyo hamna Rushwa hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…