UDOM wameanza kuita watu kwa ajili ya Oral Interview, wameanza na madereva, list ya majina ipo kwenye website ya chuo The University Of Dodoma. ila kwa watu wa Accounts walishaajiri na watu wameshaanza kupiga mzigo..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UDOM wameanza kuita watu kwa ajili ya Oral Interview, wameanza na madereva, list ya majina ipo kwenye website ya chuo The University Of Dodoma. ila kwa watu wa Accounts walishaajiri na watu wameshaanza kupiga mzigo..!
hao wa accounts walienda kimya kimya? so hapa ndo wanaanza kuita au kuna wengine tayari na wao wameshaanza kazi kama accounts?