he!he!he!he!he!heeeeee.....hiki kijiwe lazima nimpeleke mwarau wangu huko! Kipo Kigamboni hiki mzee wa Kyela?
Mkuu hapo nimepakubali, lazima nitie maguu,pili pilik haina shida sana kwangu kwa sababu nilishakaa sana na WAPOPO(Wanigeria) kwani wanapenda sana pilipili. Asante mkuuKigamboni mazee....pazuri sana...hata habari za Kyela hapo unasahau. Ila misosi ni ya kihindi lazima ujiandae kula pili pili....
Mkuu hapo nimepakubali, lazima nitie maguu,pili pilik haina shida sana kwangu kwa sababu nilishakaa sana na WAPOPO(Wanigeria) kwani wanapenda sana pilipili. Asante mkuu
.....waarabu wanependa pilipili poa nitampeleka tu......ha!ha!haa ila mazee ulikula life........!Kigamboni mazee....pazuri sana...hata habari za Kyela hapo unasahau. Ila misosi ni ya kihindi lazima ujiandae kula pili pili....
Mzee itabidi nikuulize chemba nasikia waarabu wanapenda ile line ya Fidel80?
......ha!ha!ha!ha!ha!ha!......huyu wangu no no no .....niwa Igunga......may coz sio original....teheheneneeeeee!
Hahahahah mzeee unafaudu nawajua hao unakuta toto leupe nywele nywele lakini anaongea Kinyamwezi, halafu huwa wamefungasha sana mizigo......! na shanga kiunoni hazina idadi
....please fanya fasta uniongezea mizuka......!Hapo pahala ni pzuri mnoooooooooooo aisee,nami last May&June nilikuwepo hapo na Kabula wangu,pametulia aisee...Masanilo fanya unielekeze jinsi ya kuupload picha ili kama vp nami niweke zangu aisee(PM please)
Masanilo,Max itabidi aje azipunguze, mwenye PM yake tafadhali mtumieni