lyalya
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 602
- 555
Ndugu wana jukwaa poleni na shughuli na majukumu ya kila siku.
Nianze moja kwa moja kuhusu mada iliyo tajwa,Kwa vijana wa kitanzanzia ambao wanajituma kila
siku ili kuhakikisha maisha yanaenda mbele mwaka 2012 Waziri wa kipindi hicho Mh.Samuel Sitta
aliwasihi vijana wa kitanzania waache kulalamika bali wachangamukie fursa za biashara zilizo kuwepo kwenye Taifa changa la Sudani Kusini sasa huu ni mwaka wa saba tangu tutangaziwe fursa hizo ila kwa utafiti nilioufanya kuna vijana wengi kutoka mataifa jirani zetu (Uganda & Kenya)
wamefanikiwa kutokana na fursa hizo lakini sijapata mrejesho kutoka kwa Watanzania wenzangu mambo yao yanaenda je huko,
Ndugu zangu naomba mwenye kujua lolote kuhusu biashara ndani ya Taifa hili changa Barani Afrika atupe taarifa.
Nianze moja kwa moja kuhusu mada iliyo tajwa,Kwa vijana wa kitanzanzia ambao wanajituma kila
siku ili kuhakikisha maisha yanaenda mbele mwaka 2012 Waziri wa kipindi hicho Mh.Samuel Sitta
aliwasihi vijana wa kitanzania waache kulalamika bali wachangamukie fursa za biashara zilizo kuwepo kwenye Taifa changa la Sudani Kusini sasa huu ni mwaka wa saba tangu tutangaziwe fursa hizo ila kwa utafiti nilioufanya kuna vijana wengi kutoka mataifa jirani zetu (Uganda & Kenya)
wamefanikiwa kutokana na fursa hizo lakini sijapata mrejesho kutoka kwa Watanzania wenzangu mambo yao yanaenda je huko,
Ndugu zangu naomba mwenye kujua lolote kuhusu biashara ndani ya Taifa hili changa Barani Afrika atupe taarifa.