kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
kwenye mkaa mkuu nyama kwenye gesi naona gesi inaishaKwani nyama huwa unapikia wapi mkuu?
Acha ubahili huo muda wa kuwasha mkaa utafanya mambo menginekwenye mkaa mkuu nyama kwenye gesi naona gesi inaisha
du ww jamaa ww na vyuma vilivyokaza hata ww mwenyewe maharage na nyama unatumia mkaaAcha ubahili huo muda wa kuwasha mkaa utafanya mambo mengine
Maharage sawa tena mimi nachemsha mengi mengi yakiiva nayapack wa contena nayafreeze naunga kidogo dogo, nyama ndugu yangu kwenye gas inatosha jamani.du ww jamaa ww na vyuma vilivyokaza hata ww mwenyewe maharage na nyama unatumia mkaa
nashkuru dada vp utumbo nao unachemshia kwenye jiko la gesiMaharage sawa tena mimi nachemsha mengi mengi yakiiva nayapack wa contena nayafreeze naunga kidogo dogo, nyama ndugu yangu kwenye gas inatosha jamani.
naomba nisaidie dada flampeni nzuri ipi ya dukani isiyoshika kutu nimechoka kukaangia mayai sufuria na vilevile nataka kupikia chapati za majiSie huku uswahilini tunaita 'flampeni'
naomba nisaidie dada flampeni nzuri ipi ya dukani isiyoshika kutu nimechoka kukaangia mayai sufuria na vilevile nataka kupikia chapati za maji
nashkuru dadaMimi naona hizi za dukani hazishiki kutu
Wewe mwanaume unapika mpaka utumbo? utaoa kweli?nashkuru dada vp utumbo nao unachemshia kwenye jiko la gesi
nashukuru dada,utumbo napika mara moja moja napendelea supu yake ileWewe mwanaume unapika mpaka utumbo? utaoa kweli?
Huwa napika mara chache sana utumbo nahisi mwaka huu nimepika mara moja, ndiyo nachemshia gas, frying tafuta non stick za dukani hazishiki hayo makutu au vyuma vikibana tafuta kwenye vyombo mtumba unajipatia kubwa na nzuri na halishiki.
Ice cream š¦tunaita shikilimuSie huku uswahilini tunaita 'flampeni'
Tafuta BEAM GERMANY FRYING PANS NI NZURI HAZIPATI KUTUnaomba nisaidie dada flampeni nzuri ipi ya dukani isiyoshika kutu nimechoka kukaangia mayai sufuria na vilevile nataka kupikia chapati za maji
kkoo zipo mkuu hiziTafuta BEAM GERMANY FRYING PANS NI NZURI HAZIPATI KUTU
Sijui mkuu mi nilinunua Dom Kwenye duka fulani Linaitwa BAM general traderskkoo zipo mkuu hizi
Ice cream [emoji509]tunaita shikilimu