FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

🀣🀣🀣🀣 pombe na kinge mapacha, hiyo lugha maarufu ya walevi na wenye maumivu ya kufungwa
Nimekumbuka, nilitaka kusema 'msiba wa wengi sherehe wifi'..!!πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanaopelekewa ni ahly japo.wametufunga Mkuu..
ILa mpira tumewazid8
 
Simba nayo bna, hivi huyo kocha mlimuokota wapi.
Mngekua na nidhamu hao jamaa mngewakata.

Sasa mnakimbia mbele kama kuku aliekatwa kichwa huku nyuma mmeacha matako wazi.
 
MAKOLO YANAPELEKEWA PUMZI YA MOTO [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Simba tunajitahidi lakini jitihada hazitaleta matunda. Tunatolewa tujipqnge upya mwakani.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani nawaonea huruma wale waliofika jana na fusso SA, kurudi ndio mtihani na maumivu ya kufungwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaa uduguu
 
Huu mpira tulichozidiwa ni akili ya mchezaji mmoja mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…