Hyo Kahraba kwa kiswahili ni umeme 😃Penalt kick kwa Simba
It is a gooooooooooooal... Kahraba anafunga
AHLY 2 SIMBA 0
aya na ww umetolewa kwa penatiKwahiyo nyinyi mmetoka huku mkiingia nusu fainali?
Utokaji wakiutofauti ni upi?
Mchezaji wa Ahly El Shahat alidondoshwa kwa kugongana vichwa kwenye 18 na Che Malone, refa akafunikaPenalty imetokana na nini?
Tumeonewa na refa mkuu, tulikuwa tunaingia nusu fainali leo.nenda kalale mkuu"" umeskia nje ndani"
HahahaTukutane kwenye ligi yetu ya bahasha sasa
Udugu wangu 🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au tutakodi bajaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumeonewa na refa mkuu, tulikuwa tunaingia nusu fainali leo.
SIMBA AINT CHELSEAJana chelsea alipindua meza ndani ya dakika mbili tu