[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vyura wa kihansiii? Wapiiii?Udugu wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapi simba wa dar zoo
Scars huwa ni mwanamichezo mzuri sana na binafsi namkubali mno ila huwa anajizima data na aliwahi kusema kuwa kwenye utani na ushindani wa timu hizo lazima ajizime data potelea mbali. Hiyo ndiyo sababu kwangu huwa namnchukulia kama among the best watani wachache. Salute to him.Nimekufuatilia Leo, umesimama kama mwanamichezo.
Uko Sawa Sana leo, nimeangalia mechi ya Simba first half nilivyoona Simba hawafungi goli nimeamuwa kujilalia zangu.
π€£π€£π€£π€£ niambie nimfikishie ujumbe, niitwe aunt chapuππ
Hivi wifi ni kweli hujui wa kumuambia hili kweli..!?
Kesho naruka kichura chura π€£π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vyura wa kihansiii? Wapiiii?
YeahHyu
Hyo Kahraba kwa kiswahili ni umeme [emoji2]
Shukrani sana mkuu JoseverestMchezaji wa Ahly El Shahat alidondoshwa kwa kugongana vichwa kwenye 18 na Che Malone, refa akafunika
Mpira ni mpira tu,SIMBA AINT CHELSEA
Yani ww kabisa unabetia team bovu hili??π€£π€£π€£Yamefungwa na yakanichania mkekaView attachment 2955096
Wewe nae katafute wakukubandua saa hiziSimba msijisahulishe mmepigwa nje ndani dadeq π€£π€£π€£π€£π€£π€£
ππππ€£π€£π€£π€£ toka pepo la refa kupendelea mamelodβ¦. aahhh kumbe hangover bado ipo!!
Toka pepo la ulevi, toka pepo la kupeleka timu mbovu km kolo
Poa poa
Tuna timu mbovu. Main reasons ni viongozi na bila mabadiliko ya viongozi hakuna kitachobadilika. Sasa wanachama jipeni moyo hawa viongozi wafanye mabadiliko ya maana.Kikosi kikiwa hivi nitakuwa na matumaini yakwemda matuta
Ayoub
Hussein
Kapombe
Inonga
Fondo
Sarr
Putin
Chama
Fred
Miq
Onana
Mabadiliko yawe kwa fred,kapombe na saido aingie atoke onana.
Yeah
Mtani bao ngapi??? π€£π€£π€£Wewe nae katafute wakukubandua saa hizi