JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Full time
Anakosaaaaaa, kipa wa Azam FC anapangua penati.
90' Al Akhdar wanapata penati.
87' Shambulizi la Al Akhdar mpira unagonga nguzo.
63' Wenyeji wanamiliki mpira na kufanya mashambulizi kadhaa.
50' Azam wameonesha utulivu, mchezo umepungua kasi.
Kipindi cha pili kimeanza
Mapumziko, Azam FC wapo nyuma kwa magoli matatu.
45' Wapinzani wa Azam FC wanacheza soka la kasi na kuwafanya wageni wafanye makosa mara kwa mara.
25' Kasi ya mchezo iko sawia, timu zinashambuliana kwa zamu.
16' Mchezo unasimama kwa muda, mashabiki wa Al Akhdar wanarusha chupa kwa mwamuzi wa pembeni.
15' Al Akhdar wanaweka mpira wavuni lakini inakuwa offside.
11' Gooooooooo, wanafunga goli kwa mkwaju wa penati.
10' Penatiiiiiiii, wenyeji wanapata tuta iliyotoka na faulo.
5' Azam FC wanacheza kwa utulivu.
Mchezo umeshaanza.
Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC ipo ugenini kucheza dhidi ya Al Akhdar ya Libya.
View attachment 2380939
Anakosaaaaaa, kipa wa Azam FC anapangua penati.
90' Al Akhdar wanapata penati.
87' Shambulizi la Al Akhdar mpira unagonga nguzo.
63' Wenyeji wanamiliki mpira na kufanya mashambulizi kadhaa.
50' Azam wameonesha utulivu, mchezo umepungua kasi.
Kipindi cha pili kimeanza
Mapumziko, Azam FC wapo nyuma kwa magoli matatu.
45' Wapinzani wa Azam FC wanacheza soka la kasi na kuwafanya wageni wafanye makosa mara kwa mara.
25' Kasi ya mchezo iko sawia, timu zinashambuliana kwa zamu.
16' Mchezo unasimama kwa muda, mashabiki wa Al Akhdar wanarusha chupa kwa mwamuzi wa pembeni.
15' Al Akhdar wanaweka mpira wavuni lakini inakuwa offside.
11' Gooooooooo, wanafunga goli kwa mkwaju wa penati.
10' Penatiiiiiiii, wenyeji wanapata tuta iliyotoka na faulo.
5' Azam FC wanacheza kwa utulivu.
Mchezo umeshaanza.
Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC ipo ugenini kucheza dhidi ya Al Akhdar ya Libya.
View attachment 2380939