SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Usiongelee Al ahly, jiongelee wewe na team lako la makolo kwanza. Mechi sita za mwisho, kuna uliyofurukuta?Uto muache ushamba, kuwafunga hao watoto wenzenu kwenye kombe la mbuzi ndio mnarukaruka kwenye makochi[emoji1787][emoji1787][emoji1787], siku mkimfunga Al Ahly si mtaomba kesho yake iwe siku ya mapumziko kitaifa🫣🫣
Yaani mpaka unajiuliza Timu kama hii ilifikaje hapa, maana wanajigonyagonya tu hapa.Haya mashindano mengine CAF inabidi wayafute tu, tunaumizana macho bila sababu ..
Download yacine tv kule google ina kama MB 13 then download ytv player ina MB 7 baada ya hapo kula maisha
Kamwambiaje ?Mnamsikia Nabi akimchana Azizi Ki?
Nipe mjiKamwambiaje ?
Kabisa mkuu,GGMUAmetu offer kitu kikubwa sana unexpected
Ule uzi anaupita kama anaaga maiti. Anajifanya sio wa kwake.kuna jamaa alimfananisha kibu d na mayele hahahahaha sijui kajificha wapi now
Subiri nimwite hapa OKW BOBAN SUNZUUle uzi anaupita kama anaaga maiti. Anajifanya sio wa kwake.
DodomaNipe mji
Dakk ya 90+2Real Bamako wakifikia mpaka dakika ya 85' hawajasawazisha basi nitaamini kweli hamkusingiziwa kuitwa kikundi cha wahuni.
MbwaReal Bamako wakifikia mpaka dakika ya 85' hawajasawazisha basi nitaamini kweli hamkusingiziwa kuitwa kikundi cha wahuni.