dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Huko kwa wagogo sio mchongo, wanakula sana punda na mi sifagilii hayo mamboDodoma
Ndo mlichobakiwa nacho sasa hiviHivi pale ile taiti ya Kisinda imechanika au ndio mambo ya fasheni?
Alisikika pimbi mmoja akirukia ndizi mbivu na kuzikosaHawa losers wamekutana
We umeonaje, au kuna taiti za kacha?Ndo mlichobakiwa nacho sasa hivi
Refa maliza mpira turudi nyumbani wengine tunakaa mbali 😁Mshindi ameshajulikana refa amalize mpira sasa watu warudi nyumbani
Washa taa utuoneFriends of Bamako mpo hampoooo, mpo wapi mbona siwaoni
We umeonaje, au kuna taiti za kacha?
MmelowaaaaWasha taa utuone
Tk Master hujamuona?Nimeona R. Bamako 0 -1 Yanga
Mwenyewe.Mbwa
Nilisema mapema..Yanga wametumia ule uchawi wao wa ndagu ya kutoa sadaka kwa watoto..watapata goli kipindi cha pili!
Mwambie refa amalize mpira watoto hawajala mama Yao ananisubiri mimi nirudi ndo tule wote.