FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

Wewe utakuwa mwajuma ndala ndefu...yaani mwanamke gani usiye na sitaha au moto wa kwa mpalange ndo unakuchamganya hapo ulipo mwananyamala kwa wahaya.....?a
Mbona unaongea kishoga shoga wewe naona umezoea kuwekewa wewe huo moto huko kwako au unamwekeaga mkeo ndo maana unadhani wote wanafanya huo upuuzi. Kuwa na sitaha ndo nini? Kwahyo unataka niongee kwa kukulambalamba au kukupa maneno matamu ww ni nani? Nyie hamuoni mnavyobeza timu yetu? Naona msg yangu imekuingia kuliko niliemwambia. Ustaarabu naweka pembeni kwenye maneno ya shobo mnayoipa Simba hiyo msg unayoiona haina staha inakufaa ww kuliko hata Pancho.
 
WIKI hii tutafanikiwa kusikia kuhusu goli la wiki kama ilivyokuwa ile wiki ya SAKO, hebu tusikilizie
Goli la wiki la utopoloni ni lile la Chiko Ushindi dhidi ya Somalia au kama vipi la hersi dhidi ya wasanii.
 
Harafu Simba watakwambia Confederation sio kombe 😁😁😁😁
 
Huyu itakua alikuudhi sana
 
We jamaa unajua kusimulia aisee
 
Hizi ndoto ziliishia wapi, mambo yanaenda kwa kasi sana sana
Nilikuwa nawakebehi Madunduka hapo. Mimi ni Mwananchi wa kuzaliwa sio wa kuandikishwa.
Si unajua kwamba raia wote wa Tanzania wanazaliwa wakiwa "WANANCHI" isipokuwa wazazi/walezi wao au mazingira yao ya kukulia ndio huwabadilisha?
Bahati njema mimi sikuathirika na hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…