FT| ASFC: Simba SC 5-1 Ihefu SC | Azam Complex Stadium | Aprili 7, 2023

Mmesahau mlivyokula kona na basi lenu hadi mechi ikaahirishwa? Sisi hatuna kawaida ya kukimbia mechi.
Yanga amekimbiwa na Simba si mara moja. Naamini ulikuwa bado hujazaliwa..1968,1993 ulikuwa umezaliwa kweli? Na siku ile mnang'oa viti uwanja wa "Taifa" unakumbuka?
 
Kiukweli mi sipendi Simba ya kupiga pasi napenda Simba ya Magoli. Hii ya kipindi cha pili imezungua kidogo. Madogo walitakiwa wale wiki hawa.
 
Yaani kuifunga timu inayoshiinayoshiriki loosers iwe kipimo kwa champions..hapana
 
Yanga amekimbiwa na Simba si mara moja. Naamini ulikuwa bado hujazaliwa..1968,1993 ulikuwa umezaliwa kweli? Na siku ile mnang'oa viti uwanja wa "Taifa" unakumbuka?
Kwamba 1968 ukikuwa na utambuzi wa kujua kinachoendelea katika jiji la Mzizima kuhusu Yanga na Simba Sc? Hii inamaana ulizaliwa miaka zaidi ya 20 nyuma ya hiyo 1968 ambayo labda tuseme ni 1948 wakati vita ya pili ya dunia inamalizikia? Na sasa tuko pamoja hapa Jf ukitype na kuongea lugha za kihuni kama kawaida?

Hivi huwa mnaona ukubwa ni dili sana eeeh?Jitahidini basi hayo mapande ya umri mnayojipigia yaendane na mnachojadili humu.

Topolo wewe.
 
Fools have their rooms closed!
 
Yanga amekimbiwa na Simba si mara moja. Naamini ulikuwa bado hujazaliwa..1968,1993 ulikuwa umezaliwa kweli? Na siku ile mnang'oa viti uwanja wa "Taifa" unakumbuka?
Yanga wamekimbia sana tu, ikiwemo ile mechi ya Kagame hadi wakafungiwa, usijisahaulishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…