ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Mm sijui kiingereza lakini utajua siku hiyo.Yes tutakutana and in that day We gon' have a final word between ourselves bro
Hahahaaaa! Eti Jini Baleke. LolHata kipenzi changu Shadeeya simuoni, hebu Bantu Lady muite huyo mrembo kuna Jini Baleke huku linasumbua wakulima wa mpunga
Umemuona mume wa Yanga huyo, shoneni shela zuri la kuburuzikaHahahaaaa! Eti Jini Baleke. Lol
Leo kimemuwakia. π π πMtani, umelisikia jini limevamia mashambani mara 3
Kwakweli, kajiokotea. Lazima walipie kipigo cha Rajaπ€£ππ€£π ππLeo kimemuwakia. π π π
Mwenzako bibie Bantu Lady amejificha eh?ππHahahaaaa! Eti Jini Baleke. Lol
Hata sijakuelewa we nae. Mume wa Yanga kiaje tena? π³Umemuona mume wa Yanga huyo, shoneni shela zuri la kuburuzika
Kwahiyo hata ile ta Horoya aliyofungwa saba, nayo ilimalizika mezani?Hakuna mechi tena ilishamalizwa mezani .
Nadhani ni Yanga pekeeπ€£ππHivi timu gani ya Ligi Kuu hapa bongo haijawahi kufungwa walau goli 4 na Simba?
Harusi tarehe 16 utaelewa siku hiyo. Baleke anachukua chomboHata sijakuelewa we nae. Mume wa Yanga kiaje tena? π³
π π πKwakweli, kajiokotea. Lazima walipie kipigo cha Rajaπ€£ππ€£π ππ
Hamna hajajificha bana. Anahudumia familia saa hii. πMwenzako bibie Bantu Lady amejificha eh?ππ