Mnacheza mpira wa hovyo sana sasa hivi
Kama bao la kiba100Mbabe ni yule anayefunga goli nyingi sio moja la kunyatia baada ya mtu kujisahau
Bangi hizi.Mnacheza mpira wa hovyo sana sasa hivi
Geita waliokuwa hata golini kwenu hawafiki na wanapoteza mipira hovyo ndani ya eneo lao ilitakiwa muwaadhibu.Hawa ni Geita ila huwezi cheza hivi na Singida
Wewe hakuna ulijuwalo zaidi ya ushirikina tu.Kama bao la kiba100
Hapana, kila timu inapewa pesa kutokana na hadhi yake
Tarehe 16 tutacheza vizuri utafurahiMnacheza mpira wa hovyo sana sasa hivi
Kama unalijua hilo kiherehere cha nini?Hapana, kila timu inapewa pesa kutokana na hadhi yake
Mbona unaongea kinyonge sana 🤣😂🤣 Mnacheza kama kijiwe cha wahuni wamejikusanya tu wakacheze mpira.
Maigizo kamili ni April 16Maigizo Part I yamekwisha kama ilivyotarajiwa.
Sasa Tunasubiri Maigizo Part II dhidi ya Singida Big Star ambayo Wamiliki, Coach na Nusu ya wachezaji ama Wana support au wana kadi hai za Utopolo FC.
Tunatoa dose kulingana na umri tarehe 16 tutatoa dose ya kikongwe wa miaka 87 usiwe na harakaMbona unaongea kinyonge sana [emoji1787][emoji23][emoji1787] Mnacheza kama kijiwe cha wahuni wamejikusanya tu wakacheze mpira.
Mje kwenye ubora wenu. Simba ya sasa hivi usije ukiwa unajichekesha chekesha, ohooo!Tunatoa dose kulingana na umri tarehe 16 tutatoa dose ya kikongwe wa miaka 87 usiwe na haraka
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kama jana tu ihefu walovyotaka kuwaua simbaKwa hiyo unaona ni sahihi kabisa wachezaji wa Geita Gold kucheza rafu hatarishi. Ok.
Safari hiii kuna Jini, na kama ujuavyo haliigizi
Tar 16 tutakipandisha kiwango.Yanga kiwango kimeshuka mno, hii siyo siri. Ni ngumu kuwafunga lakini ni ngumu pia kupata ushindi.
Hapo nimelalamika?Na hilo la Yanga kumuingiza Mayele nalo mnalilalamikia?