Tulia weweDk 05' Azam FC 0-0 Singida FG
Hivi azam inakuwaje ana points 7Dakika 10 zijazo Azam Complex mchezo wa Round ya 3 Ligi kuu Tanzania Bara
Kati ya Azam FC na Singida Fountain Gate utaanza hapa niko tayari kukuletea mtanange huu
Tulia mbona huelewi[emoji1][emoji1][emoji1] Azam mmekuja?
Uonevu tu, si alikuwa na tshirt?πππ Amevua