mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Ni Jumapili nyingine tena tunakutana katika mpambano wa kukata na shoka ambapo mabingwa watetezi wa Azam Federation Cup, Young Africans wanashuka uwanja[emoji2522] wa Benjamin Mkapa kuwakaribisha Rhino Rangers kutoka Tabora.
Ikumbubwe mechi hii ni ya mtoano kuelekea 16 Bora na mshindi lazima apatikane.
Je ni Yanga [emoji617] au Rhino[emoji1661] Rangers ndio wataibuka washindi baada ya dakika 90?
Muda wowote mpira utaanza hapa katika dimba[emoji2522] la mkapa
"""""""""'''''''''
00' Kipyenga kimepulizwa tayari kushiria kuanza kwa mtanange huu
02' Yanga [emoji617] wameanza kulisakama mapema sana lango la Rhino Rangers mashambulizi makali yanaokolewa na golikipa wa Rhino
07' Gooooal[emoji460] Dickson Ambundo anawatanguliza Wananchi mapema kabisa
16" Gooooal[emoji460][emoji460] Kennedy Musonda anaweka kambani goli la pili kwa Yanga
19' Aziz Kiiiiiiiiii[emoji460][emoji460][emoji460] anaweka goli la 3 Kwa Yanga
23' Gooooal [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] Farid Mussa anafunga goli la 4 Kwa Yanga
27' Goooal[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ni goli la 5 Kwa Wananchi[emoji617]. Mfungaji ni Yanick Bangala
45+2' Dakika mbili za nyongeza Yanga bado wanalisakama kama nyuki lango la Rhino Rangers
Naam mpira ni mapumziko Wananchi [emoji617] wanakwenda vyumbani wakiwa mbele Kwa magoli ma 5 kwa bila
Kipindi cha pili kimeanza
45' Goooal[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] Kennedy Musonda anashindilia msumari wa 6 kwenye jeneza la Rhino Rangers
90' Gooooal [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji119][emoji119][emoji119]David Bryson anafunga goli la 7 Kwa upande wa Yanga
Dakika 90 zimetamatika hapa Uwanja[emoji2522] wa Benjamini Mkapa ambapo mabingwa [emoji471] watetezi wa Azam Federation Cup Yanga [emoji617] wanaondoka na ushindi mnene wa goli 7-0 na kusonga mbele hatua ya 16 Bora.
Tukutane next time[emoji122][emoji122]
Ikumbubwe mechi hii ni ya mtoano kuelekea 16 Bora na mshindi lazima apatikane.
Je ni Yanga [emoji617] au Rhino[emoji1661] Rangers ndio wataibuka washindi baada ya dakika 90?
Muda wowote mpira utaanza hapa katika dimba[emoji2522] la mkapa
"""""""""'''''''''
00' Kipyenga kimepulizwa tayari kushiria kuanza kwa mtanange huu
02' Yanga [emoji617] wameanza kulisakama mapema sana lango la Rhino Rangers mashambulizi makali yanaokolewa na golikipa wa Rhino
07' Gooooal[emoji460] Dickson Ambundo anawatanguliza Wananchi mapema kabisa
16" Gooooal[emoji460][emoji460] Kennedy Musonda anaweka kambani goli la pili kwa Yanga
19' Aziz Kiiiiiiiiii[emoji460][emoji460][emoji460] anaweka goli la 3 Kwa Yanga
23' Gooooal [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] Farid Mussa anafunga goli la 4 Kwa Yanga
27' Goooal[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ni goli la 5 Kwa Wananchi[emoji617]. Mfungaji ni Yanick Bangala
45+2' Dakika mbili za nyongeza Yanga bado wanalisakama kama nyuki lango la Rhino Rangers
Naam mpira ni mapumziko Wananchi [emoji617] wanakwenda vyumbani wakiwa mbele Kwa magoli ma 5 kwa bila
Kipindi cha pili kimeanza
45' Goooal[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] Kennedy Musonda anashindilia msumari wa 6 kwenye jeneza la Rhino Rangers
90' Gooooal [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji119][emoji119][emoji119]David Bryson anafunga goli la 7 Kwa upande wa Yanga
Dakika 90 zimetamatika hapa Uwanja[emoji2522] wa Benjamini Mkapa ambapo mabingwa [emoji471] watetezi wa Azam Federation Cup Yanga [emoji617] wanaondoka na ushindi mnene wa goli 7-0 na kusonga mbele hatua ya 16 Bora.
Tukutane next time[emoji122][emoji122]