Nyanga ndio nini?tunatuma salamu kwa waliokaa mkutano leo sera ikiwa tutaifunga nyanga
Anacheza na nani?Aziz Ki Anaufanya Mpira Atakavyo [emoji23]
Na aisha manyulaAnacheza na nani?
Hapa ongeza na Undundu FC, Mandunduka FCWiki bila kadi nyekundu? Labda bahasha maana sisi Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Kolowizards/Mikia/Ngada ndiyo timu yenye strikers wakali kuliko timu yoyote ile hapa Bongo [emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Simba wanacheza na al hilal tarehe 5 Februari, Namungo tayari na Azam atacheza nayo piaKwanini usijitaje wewe uwasukumizie wenzako??tunakutaka ww kolowizard
akili sina ila wewe huna akili zaidi maana unashindwa jua makosa ya kiuandishi sasa utasema una akiliNyanga ndio nini?
HUNA AKILI.
Watakuja kulipiwa na wageni kwenye kombe la shirikisho la wakubwa Afrika. Kombe la luza aka walioshindwa CAFCL kwa mujibu wa mkosa rangi na akili.Goli la saba huko Kwa [emoji617][emoji617]
Vijana wa Mangungu mnapambanaWatakuja kulipiwa na wageni kwenye kombe la shirikisho la wakubwa Afrika. Kombe la luza aka walioshindwa CAFCL kwa mujibu wa mkosa rangi na akili.
Kule Yanga wenye akili ni wawili tu. Ina maana hata yeye na yule boss wa SBS wote hawana. Fei kaondoka alishtuka anafanya kaz na watu wasio na akili ndio maana wakaandika mikataba isiyo na akili.
Ni utopolo mzee ndio alipambana na faru akajipigia wiki. Sio vijana wa MangunguVijana wa Mangungu mnapambana