Mamba_Mtoni
JF-Expert Member
- Feb 18, 2023
- 420
- 766
Kwani goli 3 sio nyingi?Watu wengi walitegemea labda simba ingefungwa goli nyingiiiiiiiii. Sio mby sn 3 tu aah za kawaida sn. La muhimu ni tupo robo fainali
Katka hao 8 kuna mjinga Simba yupoAta tukipigwa 100 tupo robo tyr huko tupo timu 8 tu bora za Africa
KwambaRaja 1 Simba 1. Magoli ya Onyago hatuhesabu, hayo ni yake.
Mmeamua kumuangushia Onyango jumba bovu.Techically ni 3-2, na Onyango asingecheza huku anawaza kuandamana matokeo yangekuwa 2-1 ushindi kwa Simba.
Ukilinganisha na zile goli 6 kwa kweli sio nyingi. Inategemea unalinganisha na nini.Kwani goli 3 sio nyingi?
Tujipange vizuri tu kwa robo fainali...haya yameshapitaHii mechi niliweza kuitabiri matokeo kama haya.
Ni kama friend match tu ambayo hupati chochote na wala hupotezi chochote zaidi ya sifa tu
Na Simba haipendi sifa
Teh teh teh 😂😂😂 mshabiki ni mshabiki tu teh 😂😂La nne lipi. Tumefungwa goli moja. Hayo mengine yazungumze na Onyango.
😂🤩🤩
Uliposema kumshuhudia umemaliza kila kituKenneth Mkapa kwangu ni beki tatu bora kabisa kwa Tanzania kwangu niliyemshuhudia.
Bora umewakumbusha mkuu.....waache kujizima data kwa mechi moja ya kukamilisha tu ratiba.Onyango huyu huyu ndiye aliyecheza tuliposhinda 7-0 dhidi ya Horoya. Tusiwe wasahaulifu, tuangalie na mechi yenyewe
Hiyo ni mechi ya kirafikiOKW BOBAN SUNZU njoo huku umshutue bwana Kanali G
Kwamba
Simba 1 Raja 1
Onyango 0 Raja 2
Aggregate: Simba 1 Raja 3
Msimu ujao Simba wanatakiwa kumshukuru Onyango na kumtakia maisha mazuri huko anakoelekea
Ahahahahh
Onyango huyu huyu ndiye aliyecheza tuliposhinda 7-0 dhidi ya Horoya. Tusiwe wasahaulifu, tuangalie na mechi yenyewe
Mamelodi wanawezekanika sio hawa raja..Tusubiri mpangwe na Mamelodi
Kuchukua Bahasha ya kustafiaTAKUKURU wamchunguze ONYANGO
Onyango halaumiki hana uwezo wa kuugeuza geuza mwili wake kwa haraka kwanza kuna umri kisha uzito,haya ni matokeo ya kufeli kwenye usajili sina deni na Onyango kabisa,yeye kubaki Simba mpaka sasa ni matokeo ya kufeli kwenye usajili tena kajitahidi sana mpaka kuifikisha timu kwenye robo.hao wanaomlaumu wanakosea.Mmeamua kumuangushia Onyango jumba bovu.