FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

Uliposema kumshuhudia umemaliza kila kitu

Ila walikuwepo akina LB Twaha Hamidu ni zaid ya Mkapa na RB Kasongo Athuman, Raphael Paul
Twaha Hamidu "Noriega" walicheza enzi moja na Ken Mkapa na wote nimewashuhudia live kabisa. Pamoja na kumkubali sana Noriega hasa style yake ya kucheza ubabe mwingi nadhani Mkapa alikuwa juu kwa kiwango. Battle ya And Tom na Noriega haikuwa ya kawaida🤣. Upande wa RB, David Mwakalebela was best. RP alikuwa wa kawaida tu.
 
Bora umewakumbusha mkuu.....waache kujizima data kwa mechi moja ya kukamilisha tu ratiba.
Kwahiyo kwa vile ni kukamilisha ratiba ndio ajizime data na kucheza utopolo

Mwisho wa msimu kwakweli wamshukuru tu na kumtakia heri huko aendako
 
Huyu jamaa boli alikuwa anajua asee, kwanza hakuwa na papara.
Kuna ule wimbo unaitwa Dar Mpaka Moro ulioimbwa na TMK wanaume. Wengi hawajui hiyo Dar Mpaka Moro haikuanzia na TMK bali ilitokana shuti lililopigwa na Kenneth Mkapa.

Ilikua ni kayika mechi ya Yanga na Simba ambapo akiwa nje ya 18, Kenneth Mkapa aliachia shuti kali lilikwenda moja kwa nyavuni na kuiandikia Yanga bao pekee na la ushindi dhidi ya Simba katika mechi.
Kwa umbali ule aliolipiga lile shuti mashabiki wakaliita "Dar mpaka Moro".
 
Daah, uzuri kila mtu ana viwango au standards zake. Ndio maana kila mwanamke huzaa.

Tukubaliane kutokubaliana kwa mitizamo yetu. Kila mtu na anachojua ni sahihi kwake😂🤣😎
 
Nyie kumbe hii game imecheza jana na leo hata kuniambia hamna, sijapenda kwa kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…