Yaani nilikuwa naongea kila neno. 🤣🤣Kamoyooo tuliaaa sasaa[emoji23][emoji23]
Baleke angejipigia hat trick
Nusu fainali ya mashindano gani ?Hizo ni tambo tu za kishabiki ila Marumo ni wazuri kuliko hata Simba ndo maana anacheza nusu fainali leo hapa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]tunakuwa na confidence sasaMtapumua game ikiisha[emoji23]
SubNasikia kelele huko
Ngoja kipa aumie, atajua hajuiHizi sub za Nabi za leo. Mhhhhhhh
Kula chuma hichoooKule kwao hamtatoboa kenge nyinyi
Atadaka mayelee[emoji23]Sub 4? Profesa nae huyu bana, akiumia kipa sasa Inakuaje?
Lilieni kuongeza jingine, sio mpira uishe hivi.Refaaa maliza mpira nimeacha maandazi jikoni