Nilisema sikusema, ni suala la muda tuNi suala la muda tu, mtakuja kumpa credit babu Nabi hapa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Unapofungua mlango wa mbele, hakikisha wa nyuma umefungwa[emoji444][emoji445] Utaikuta igunga hukoooo[emoji445][emoji444]Naona akili zote tumehamishia kwenye kushambulia nyuma tunakusahau. [emoji854]
Itatugharimu hii.
Anajaribu kutafuta matokeo zaidi, goli moja sio kitu kwenye knockouts, hasa ukiwa unaanzia nyumbani.Sub 4? Profesa nae huyu bana, akiumia kipa sasa Inakuaje?
[emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Hadi moyo wangu unauma sana kisa yanga kupata hako ka goli
Ukiisha hivi tutakufa kiume 🤣🤣🤣Lilieni kuongeza jingine, sio mpira uishe hivi.
Dakika zinayoyomaDk ya ngapi hiii
Hautakiwi kuisha hivi vinginevyo tutaungana kwenye benchi (mkitolewa) [emoji23][emoji23].Ukiisha hivi tutakufa kiume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakukumbusha tu hapa Kaizer alikula 3 za haraka haraka toka kwa Mnyama
Hakatoshi.Sisi kimoja kinatosha
Kufa tuDah! Hadi moyo wangu unauma sana kisa yanga kupata hako ka goli
Hawana deni kabisa, wamekufa kiume. Hatuwadai 😂😂😂😂😂😂😂Siwadai yangaaa🤣🤣🤣 Bantu Lady Numbisa
We acha tu mkuu! Yaani moyoni sina amani kabisa. Moyo unaumaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]