Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mama nani anaecheza hapo au ni hasira za kuwa.looser? ππWanafundisha kwenye michuano ya wamama.
Simba kafungwawakuu nipeni apdate hapa,nimeshindwa kuangalia mpira ndani, wana Uto wanatufanyia vurugu.
Atebaaaaaaaaaaaa
simba 2 Mwarabu nunge mpaka dk ya 85:22wakuu nipeni apdate hapa,nimeshindwa kuangalia mpira ndani, wana Uto wanatufanyia vurugu.
Hao WASAFI ni bure kabisa. Wameanza kuleta siasa za CCM kwenye timu yetu ya Simba SC.Wanafundisha kwenye michuano ya wamama.
Huyu nusu hawezi kufika. Kuna mijitu kuleIla hawa Constantine tunaweza kukutana nao mbele ya safari. Leo wamepoa ila wako vizuri
Zako au za shem?Ngoja niziachilie hizi mbupu sasa aseeee ππ
Utaniuwa kwa presha na hii mi K-Vant nayokunywa.Simba kafungwa
Wakunja ngumi nendeni kashughulike na Ken Gold hao ndio level zenumaalumu kwa ajili ya looser