Ila si mbaya. Wafanyie kazi utulivu. Mdogo mdogo tutafika.Na kubutua kunakuja unapokosa utulivu, haihitajiki papara pale.
Kuna sehemu ya kupasia mtu anataka kupiga, anatakiwa afinye ye anafosi kupiga.
Ni kweli lakini mazoezini vitu hivi vinaelekezeka.Ni kweli, ila kuna mambo mengine yanabaki kwa mchezaji mwenyewe, maana kocha anakuwa ametimiza mambo yake mengi tayari
Hana Bahati!!Kuna mawili hapo, either hana bahati au utulivu.
kafanyaje huyo,hivi sura ya Mpanzu ni ya duara kama Mwijaku?Mnamuona Mpanzu?π
Yes, taratibu taratibu.Ila si mbaya. Wafanyie kazi utulivu. Mdogo mdogo tutafika.
Mnyama π¦ π¦ anamuua 'kiumbe' mmoja kikatili sana.Kuna nini mbona keleleeee