Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yanga wamalize biashara huko huko.....huku ni kunywa supu tuHii mechi wanataka waje nayo kwa mkapa au
Wapumbavu hao wanafanya idadi ya magoli ipungue.!!Wachezaji wengi huwa wabinafsi sana! hiyo ni dalili ya kutojiamini!! Wachezaji kama Chama wasio na ubinafsi kabisa ni adimu hapo utopoloni!!
Usitukane basi sio jambo jema.Hili $enge limeshindwa kumpa Aziz pasi afunge km lenyewe limeshindwa π
Tumekosa goli la wazi kabisaa
Mpkaa saizi hata goli 2 hamna kweli timu kubwaa!! Nmekua disapointed sanaYanga wamalize biashara huko huko.....huku ni kunywa supu tu
Ila hawa wanachuo nao sio Vital O πππMpkaa saizi hata goli 2 hamna kweli timu kubwaa!! Nmekua disapointed sana
Nimeacha, hasira ππUsitukane basi sio jambo jema.
Leo utafikiri wamelogwa na makolo.Hawa wachezaji wa Yanga wanatakiwa kucharazwa viboko. Huu ujinga wao hauvumiliki kabisa.
Boka wa moto sanaDah,apa kwa boka tumesajili mtu
Azizi ki anazingua hii mechiyanga abebe bikira.
Yeah!! kuna siku alikomaa na mimi nije huko.Mi uto ππ
Kumbe wifi financial services naye mwananchi awwww π