Aaaah usijali tupo pamojaKwani kazurika wapi shemeji yetu? utani tu Kaka, kumradhi kama umekwazika?
AahaaaChampions league bila simba, mamelodi, wydad na al ahly hiyo ni ndondo cup.
Tumetuma maombi CAF na TFF kuwa mechi za Yanga ziongezewe muda na washindani wao waruhusiwe kubadilisha kikosi kizima kwa mchezo mmoja.Mpira unaisha haraka sana
Aaaah usijali tupo pamoja
Tumetuma maomba CAF na TFF kuwa mechi za Yanga ziongezewe muda na washindani wao waruhusiwe kubadilisha kikosi kizima kwa mchezo mmoja.
Leo nmekosa uhondo asee, nategemea update humu.Kwa sababu ni mtamu kama ice cream za Azam
WapoHuwezi wakuta Makolo hapa leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
huu mpira sio wa mia 5 huko kibanda umiza bei ipandeMpira unaisha haraka sana
Una hamu ya kuumbuka wewe 😂Scars Kalpana Greatest Of All Time njoonisaidie kuuvuta vuta uzi wetu. Kambi ya Fisi pekee hataweza ingawa anajitahidi.
usipo angalia utajilaumu badaeYaani niache kuangalia EPL niwaangalie utopwinyo vs Wakondefu Fc? yatakua matumizi mabaya ya akili...
kinaitwa kichwa cha mauajiiMzizeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweweweww
Unateseka ukiwa wap [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaanachoomaaaa moyoYaani niache kuangalia EPL niwaangalie utopwinyo vs Wakondefu Fc? yatakua matumizi mabaya ya akili...
Hata humu usingeweka post tunhekuona wamaana mkuu.Yaani niache kuangalia EPL niwaangalie utopwinyo vs Wakondefu Fc? yatakua matumizi mabaya ya akili...
Kuna sehemu nimepita nimekuta wamachinga ambao ni mashabiki wa Simba wapo chini ya meza wanasifia mpira wa Yanga kwa sauti ya chini. Wanaangalia mpira halafu Kila baada ya dakika kadhaa wanaenda kuongelea chini ya meza.Yaani niache kuangalia EPL niwaangalie utopwinyo vs Wakondefu Fc? yatakua matumizi mabaya ya akili...