FT: Dodoma Jiji 0 Simba 1

Mbona ni kawaida kwa simba kushinda baada ya wapinzani kupunguzwa, tofauti na hapo nothing new to this club
 
Hiyo ni project ya utopolo.
Kila timu inayocheza na Simba inaahidiwa dau la milioni 15.
Leo walikusudia kuumiza key players wa Simba.Na kama wakiganikiwa kwa hili,mechi ijayo Simba akafungwa,watapata bakshishi wote waliohusika kufanya hivyo

Ingefaa TFF iifungie Dodoma Jiji kwa mchezo wa rafu sana.
 
Alitumia nguvu nyingi leo kalainika amepigwa bao
Hili soka letu bwana. Biashara alikaza kwa Simba Leo kafungwa na Ruvu akiwa Nyumbani kwake.
Timu za saizi yake zinaondoka na points zote.
 
Simba wanatufanya mashabiki tujae hofu.

Makolo muli bwanji babaa...

Na leo tukifungwa? Nitapokea zawad jersey za uto tu hakuna namna.
Acha ushabiki fuata upepo wewe. Yani Kila timu ikifungwa wewe unahamia nyingine. Jifunze kuwa mvumilivu kama shabiki wa ARSENAL 💪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…