Timu za mikoani km sio droo basi ni moja bila ikiwa tofauti kidogo ni mbili mojaHivi hawa Ihefu ndiyo wale wale walio wafunga kweli Yanga goli 2-1 kule Highland Estate!!
Mpira umemalizika muda si mrefu leo tarehe 18/12/2023 kwenye uwanya wa Jamhuri Dodoma.
Yaani msimu mzima wanajiandaa kwa ajili ya kuifunga Yanga tu kwenye uwanja wao wa nyumbani, halafu baada ya hapo wanageuka kuwa pombe ya kwenye sherehe!
Kwenye msimamo wa Ligi, wako mkiani na mwenzake Mtibwa Sugar!! Ndugu zangu wa Ihefu, kiweni makini! Mtashuka yena daraja. Huu utaratibu wa kuikamia timu mmoja tu ni wa hovyo. Badilikeni.
Bado inawauma kuliko walivyofurahia zile tano, wanatamani hata ihefu angefuzu cafcl akamfunge wydad ili wapate cha kusema, inawauma ihefu kuwafunga wao halafu wanafungwa kilaini na timu nyingineKipigo cha Ihefu bado kinawauma.
nyie kipigo cha Goli tano/mkono/khamsa,/5g hakiwaumi mpkaka leo?Kipigo cha Ihefu bado kinawauma.
Kuna wao, halafu kuna Mtibwa.Binafsi ninawasikitikia tu. Maana wasipochukua hatua za haraka, jahazi lao litazama.