Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WeweInaoneshwa channel gani?
Isijekua yaleyale ya kuchezea chumbani matokea ya kupangwa hadharani
Mkuu kumbe umeharibika kiasi hiki🤫Team za mid table zinahangaika kinoma
Simba ilikua 2018-2020 saivi wapo daraja Moja na kina pamba FC, Mbao na Toto AfricanMkuu kumbe umeharibika kiasi hiki🤫
Chaneli za mpira Azam 1Inaoneshwa channel gani?
Isijekua yaleyale ya kuchezea chumbani matokea ya kupangwa hadharani
Wala hatujaliSimba ilikua 2018-2020 saivi wapo daraja Moja na kina pamba FC, Mbao na Toto African
kwa nini unaogopa kuitaja ni UTOPOLO si ndio??Chaneli za mpira Azam 1
Unaweza ukaangalia vipindi vya mapishi kama kifurushi chako hakikuwezeshi kuona mechi ila hapa tutaweka kila kitu.
Hawa Al Hilal ndio wale waliwahi kuitoa timu moja ya hapa Bongo kwenye michuano ya Club Bingwa na kuitupia Shirikisho.
Simba inaenda kutoa somo, wote shikeni peni muangalia kile ambacho mlitakiwa kukifanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naliona duka kwenye milingoti mitatu
Ni UTOPOLO ilitolewaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chaneli za mpira Azam 1
Unaweza ukaangalia vipindi vya mapishi kama kifurushi chako hakikuwezeshi kuona mechi ila hapa tutaweka kila kitu.
Hawa Al Hilal ndio wale waliwahi kuitoa timu moja ya hapa Bongo kwenye michuano ya Club Bingwa na kuitupia Shirikisho.
Simba inaenda kutoa somo, wote shikeni peni muangalia kile ambacho mlitakiwa kukifanya
Unanipangia?Chaneli za mpira Azam 1
Unaweza ukaangalia vipindi vya mapishi kama kifurushi chako hakikuwezeshi kuona mechi ila hapa tutaweka kila kitu.
Acha mdomo! Tukutane saa 12 jioniSimba lazima amkande Al Hilal hilo halina ubishi
Hata mikeka ya wengi inasapoti kauli yangu.
Msisahu kutuma video za magoliNgoja nimuone huyu Ateba ana kipi cha kumzidi Mukwala.
Tayari kwangu Mukwala ame earn trust yangu kwa jinsi nilivyonionesha fighting spirit japo kuwa hakuwa na bahati ya kufunga
Kama kocha ni kweli huyu Ateba ndio alikuwa amemchagua nitaenda kuona ana kipi cha tofauti