Simba wa ngapi😂
Simba wa ngapi kwenye ligi
Hana akili huyo koloKwanini? Ila wewe ni mwehu
Wamepiga shuti mojaDak 90 Geita hawajapiga shuti on target hata moja
Bongo la kocha Jamaa,msimvuruge na mambo yenuu ya kiswahili.Bench la ufundi lipo vyema.Kwanini? Ila wewe ni mwehu
Naunga mkono hojaBongo la kocha Jamaa,msimvuruge na mambo yenuu ya kiswahili.Bench la ufundi lipo vyema.
1.utimamu wa wachezaji,wakiwa wanacheza unaona kunakitu super beach la ufundi linaofer...kitu hiki Simba ni "D" wachezaji weak sana ingawa Simba nao kikosi ni kizuri tu kosa ni kwa mtu wa mazoezi hatoshi.
2.Gamond convincing power anayo kubwaa kwa wachezaji na anapenda umoja ndani ya team...Simba kocha wengee sana.
3. Yanga kikosi kinahamu ya mafanikio either kwa mchezaji binafsi na kwa team kwaujumla(Kujitumaa).Eg.Leo Yao Yao goal la kwanza kapambana mnooo kweli unaonakazi imefanyika...Hiki kwa Simba nawapa Grade "C" Yanga "B".
🤣🤣🤣🤣
Bongo la kocha Jamaa,msimvuruge na mambo yenuu ya kiswahili.Bench la ufundi lipo vyema.
1.utimamu wa wachezaji,wakiwa wanacheza unaona kunakitu super beach la ufundi linaofer...kitu hiki Simba ni "D" wachezaji weak sana ingawa Simba nao kikosi ni kizuri tu kosa ni kwa mtu wa mazoezi hatoshi.
2.Gamond convincing power anayo kubwaa kwa wachezaji na anapenda umoja ndani ya team...Simba kocha wengee sana.
3. Yanga kikosi kinahamu ya mafanikio either kwa mchezaji binafsi na kwa team kwaujumla(Kujitumaa).Eg.Leo Yao Yao goal la kwanza kapambana mnooo kweli unaonakazi imefanyika...Hiki kwa Simba nawapa Grade "C" Yanga "B".
Hivi hatuwezi kuongea na bodi ya ligi kua watafunyie mpango hizi goli 3 za leo mbili waziweke kule kwa IHEFU ubao usomeke 2-3,kwa geita wacha 1,iwe 0-1