naskia zuwena huko anatuaibisha tukupitia matangazo yako tunaendelea kusikikia JF yote...Simba mnyama mkali
Nguvu moya 😀 😀 😀
Sio kabwili?naskia zuwena huko anatuaibisha tu
Uto ni mabingwa wa kukimbia.Kesho msitukimbie
Kwa lipi hasa,kwa Yanga weka hata Mke.Kesho msitukimbie
We jamaa hebu tulia kwanza[emoji1].Guvu moya [emoji3]
feitoto yupi huyu ambae amesha sahaulika kabisaFeitoto ndio MVP wa ligi yetu
Madai yao wapo busyUto ni mabingwa wa kukimbia.
Kwani njaa imemuua?feitoto yupi huyu ambae amesha sahaulika kabisa
sa hivi tunamtambua kiungo bamia na mudathiri
SanaaaaSimba wako vizuri
kabwili yuko rwanda sijajua kama wamecheza leoSio kabwili?