Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Guvu moya ππLabda ya kumfungia kibu na Boko
kwenye kichaka cha nyoka nyokaKwani hii commitment Chama aliificha wapi?
π€£π€£π€£Kasema draw, siyo drawer. Uto bhana!
TumeshindwaKwanini msiwafunge hapohapo kwao??
Wanamaliziaga matako hulia mbwata.Naona mashabiki wa simba wana amani kama zote! Wenyewe wanatambua fika timu yao ikijitahidi sana ugenini, basi sare!
Yaani ni tofauti kabisa na kaka zao Yanga, ambao wanaweza kushinda hata ugenini.
Tupe takwimuNaona mashabiki wa simba wana amani kama zote! Wenyewe wanatambua fika timu yao ikijitahidi sana ugenini, basi sare!
Yaani ni tofauti kabisa na kaka zao Yanga, ambao wanaweza kushinda hata ugenini.
Huyo mwarabu joto la bongo, na kelele za mashabiki atakunywa maji ndoo tatu siku hiyo...Raja nae aje ajipakuliea atakavyo hapo Lupaso
Kasema draw, siyo drawer. Uto bhana!