Mabadiliko ya nini mkuu? ni mechi ya kirafiki tu
Makoye Matale kwenye uzi mmoja alimnukuu sembo kwa kumjibu akisema droo na mwadui ilikuwa rasharasha naona gharika ndo limeanza hivyo....pole sana mikia fc
ukistaajabu ya RAGE utayaona ya mambumbumbu
Wana simba tunataka kombe mwaka huu, tusipolipata ndani ya simba tutalitafuta nje ya simba
Wana simba tunataka kombe mwaka huu, tusipolipata ndani ya simba tutalitafuta nje ya simba
Wana simba tunataka kombe mwaka huu, tusipolipata ndani ya simba tutalitafuta nje ya simba
Wana simba tunataka kombe mwaka huu, tusipolipata ndani ya simba tutalitafuta nje ya simba