Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Naunga mkono hii hojaModerator nyuzi za Simba zifutwe tu zinajaza server
Hapana hiyo Tumejihakikishia baada ya Kukosa UbingwaNa yenyewe inabidi jasho liwatoke kweli, mkilemaa inayeyuka🤣
Lazima aende Tanga mara moja on way back kabla ya mechi ya KMC. Kuna kitu kimepungua.SASAA NAWAZA MGUNDA ABAKI AENDELEE KHA
Tulia wewe 😂Usiwapangie
Ni dada wa Genta, mitusi imewajaacocastic yupo kifungoni
Once you're at Mbumbumbu SC it's actually inevitable your brain capacity to be exposed in its extent...[emoji125][emoji851]Ni msako wa kimyakimya tu.
Internet ikikaa stable watu watastuka tayari msiba ushaisha na wafiwa wameanza kurejewa na furaha.
nimecheka sana hasa nilipoona picha ya bambo hapo juuMsimami tafadhalo
Nyie simlitaka nafasi ya kwanza? Mshabadili malengo?Yanga washirikina.
Mmeturoga Ila nafasi ya pili yetu
Funguaga na wewe Hio pm yakoNyie simlitaka nafasi ya kwanza? Mshabadili malengo?