Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
mpira usha kosa radha huuLapiliii
Hadi hapo mkeka [emoji777][emoji777]0 -3 ft hapo baadae
Washawatoa jamaa mchezoni. Aibu hiiWatu washaanza kubebwa huku
Tunywe maji kidogo turudi.Mashabiki wa kmc tunaenda mapumziko kidogo
Uto unateseka?Mpira umeshaharibika tayari. Ujinga mtupu!
tuko na refa hadi mwishoWapambe bado mpo na KMC au mmebadilisha upepo na kuelekea kwa refa?
Samaleko, aibu wamwonea nani yakhe.Washawatoa jamaa mchezoni. Aibu hii