FT Kombe la Dunia 2022: Mechi ya Senegal 0-2 Uholanzi, Novemba 21, 2022

Kuna utofauti mkubwa sana kwenye kufanya vitu kwa usahihi kati ya Mwafrika na Mzungu.
 
Akili za waafrika tunazijua vizuri, ni akili fupi fupi, za muda mfupi mfupi sana, hawawezi kuconcentrate muda wote.

Kilichotokea leo kwa Senegal ndicho kimekuwa kikitokea karibu mara zote kwa world cup kwa timu imara za Afrika.

Kama timu ya Afrika haitazubaa zile dakika chache za mwanzo basi itazubaa zile dakika za mwisho mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…