Senegal nilihesabu leo anapoteza. Nawasubiria qatar na ecuador.Kale ka thread kako vp
Ayatollah kala kichapo cha mbwa koko! Hizi takataka nyingine sijui zinafuzu vipi world cup.
Kwenye bara lake Iran yuko vizuri tuAyatollah kala kichapo cha mbwa koko! Hizi takataka nyingine sijui zinafuzu vipi world cup.
Qatar hatafungwa mechi zote atakufa na mtu wait and seeSenegal nilihesabu leo anapoteza. Nawasubiria qatar na ecuador.
Ulimiona??? Ndo nini???Ulimiona kacheza au????hizi chuki zenu hakika mtakufa midomo wazi