FT: Kombe la Dunia 2022: Morocco 0-0 (Penati 3-0) Hispania, 6/12/2022

FT: Kombe la Dunia 2022: Morocco 0-0 (Penati 3-0) Hispania, 6/12/2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
MOROCCO YAFANYA KWELI, YAINGIA ROBO FAINALI

Timu hiyo ya #Afrika imefanya kweli baada ya kuiondoa mashindanoni Uhispania kwa njia ya mikwaju ya penati 3-0 baada ya matokeo ya 0-0 katika dakika 120

Kutokana na matokeo hayo, Morocco inatarajiwa kucheza na mshindi kati ya Ureno dhidi ya #Switzerland, Desemba 10, 2022 katika Robo Fainali.

==============


Dakika ya 120 zimemalizika, sasa ni hatua ya penati.

Hispania wamefanya mashambulizi ya nguvu dakika za mwisho lakini mambo hayakuwa mazuri kwao

Morocco wanapata nafasi ya kufunga lakini mikuu yao inapata kigugumizi kumalizia kazi.

Dakika 120 zinaelekea kukamilika, matokeo bado ni 0-0

Mchezo unaendelea

Dakika 15 za awali zimekamilika.

Zimeongezwa dakika 30, bado matokeo ni 0-0

Dakika 90 zimekamilika matokeo ni 0-0

Mchezo umekuwa na ushindani mkali muda mwingi, zaidi unachezwa katikati ya uwanja na timu zote zinashambuliana kwa zamu.

FjT4uOWXgAQRXM3.jpg

Mchezo wa Hatua ya 16 Bora wa Kombe la Dunia 2022.
 
Dakika ya 120 zimemalizika, sasa ni hatua ya penati.

Hispania wamefanya mashambulizi ya nguvu dakika za mwisho lakini mambo hayakuwa mazuri kwao

Morocco wanapata nafasi ya kufunga lakini mikuu yao inapata kigugumizi kumalizia kazi.

Dakika 120 zinaelekea kukamilika, matokeo bado ni 0-0

Mchezo unaendelea

Dakika 15 za awali zimekamilika.

Zimeongezwa dakika 30, bado matokeo ni 0-0

Dakika 90 zimekamilika matokeo ni 0-0

Mchezo umekuwa na ushindani mkali muda mwingi, zaidi unachezwa katikati ya uwanja na timu zote zinashambuliana kwa zamu.

View attachment 2437924
Mchezo wa Hatua ya 16 Bora wa Kombe la Dunia 2022.
Kwa heshima ya Morocco 🇲🇦 leo naenda kununua jezi yao
 
Hongera Morocco pole babe wangu morata dah mpira wa leo ulikuwa ni balaa.

Mnasemaga mapenzi yanauma ila asikwambie mtu mpira unauma mmeona wanaume wakitoa machozi? Spain hawako vizuri kwenye penalty hata na 2018 walitolewa kwa penalty
 
Uyu kiungo wa Ulinzi wa Morocco Jezi namba 4, Amrabati anastahili kabisa kuchezea Yanga. Jamaa ni mtu kwelikweli.
Kama Manji tungekuwa nae mpaka leo, piga ua tungempata tu huyo.
 
Back
Top Bottom