Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars ipo kwenye Uwanja wa Stade de L'amitie General Cotonou Nchini Benin ikipambana na Niger kwenye mchezo wa kufuzu Afcon 2023
Hadi kufikia kumalizika kwa kipindi cha kwanza Timu zote mbili zilikwenda mapumziko kwa kufungana bao moja kwa moja, Taifa Stars wakiwa wa kwanza kufunga kupitia kwa George Mpole dakika ya 18'
Niger walisawazisha kupitia kwa Daniel Sosah dakika ya 26 ya mchezo.
=============
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Niger katika mechi ya kufuzu AFCON 2023 kwenye Uwanja wa de L’amitié Jijini Cotonou Nchini Benin, leo Juni 4, 2022.
Tanzania ilitangulia kupata bao katika dakika ya kwanza mfungaji akiwa ni George Mpole, wenyeji waliotumia uwanja wa Nchi ya jirani walisawazisha kupitia kwa Daniel Sosah dakika ya 26.
Mchezo huo ni wa Kundi F, timu nyingine katika kundi hilo ni Algeria na Uganda. Mchezo ujao wa Tanzania ni Jumatano ijayo Juni 8, 2022 dhidi ya Algeria Jijini Dar es Salaam.
Hadi kufikia kumalizika kwa kipindi cha kwanza Timu zote mbili zilikwenda mapumziko kwa kufungana bao moja kwa moja, Taifa Stars wakiwa wa kwanza kufunga kupitia kwa George Mpole dakika ya 18'
Niger walisawazisha kupitia kwa Daniel Sosah dakika ya 26 ya mchezo.
=============
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Niger katika mechi ya kufuzu AFCON 2023 kwenye Uwanja wa de L’amitié Jijini Cotonou Nchini Benin, leo Juni 4, 2022.
Tanzania ilitangulia kupata bao katika dakika ya kwanza mfungaji akiwa ni George Mpole, wenyeji waliotumia uwanja wa Nchi ya jirani walisawazisha kupitia kwa Daniel Sosah dakika ya 26.
Mchezo huo ni wa Kundi F, timu nyingine katika kundi hilo ni Algeria na Uganda. Mchezo ujao wa Tanzania ni Jumatano ijayo Juni 8, 2022 dhidi ya Algeria Jijini Dar es Salaam.