Imepoa kisenge watu wanapiga mashuti toka mita 40 yani hamna ubunifunu wala niniNaona mechi haina hata mvuto
Unamtoa Feisal badala ya samata
Miyeyusho tuImepoa kisenge watu wanapiga mashuti toka mita 40 yani hamna ubunifunu wala nini
Kwa namna hii hata Niger tunashindwa kupata points 3,tusahau kufuzu mbele ya Algeria na UgandaLengo limegeuka kuwa kutafuta sare sasa..! Kocha ameona hakuna namna ya kupata ushindi
Sikumbuki game ya mwisho kufunga ilikuwa lini?Lakini makocha wetu hawa kila mechi kumpanga Samata kisa anacheza nje ni ujinga, Samata kacheza mechi nyingi za Taifa Stars na hana maajabu,kwanini hawawapi nafasi wengine Samata aanzie hata benchi.
hata mimi sikumbuki ,Samata achajijengea ile mentality ya wabongo wengi kwamba ameshakuwa star ,anaonyesha juhudi akiwa ulaya ila huku kwetu wa kawaida mno ,makocha waruhusu damu changa.Sikumbuki game ya mwisho kufunga ilikuwa lini?
Hata kama Wenye mtazamo huu tutakuwa wawili tu Mimi na wewe, Niko tayari. Huyu anacheza akifikiria klabu zaidi ya Timu ya Taifa.Kwangu mimi Samata hana mchango wowote zaidi ya kuchomesha