Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Bhaelezeeee bhaeleweLeta Mzunguuuuuu
Anajua huyo, ana balaa huyo, ana hatari huyo, ana viwango huyo
WanaSimbaaaaaa
Hatujamalizaaaaaaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ana balaa huyoooooo!...Mlete Mzunguuu
Simba special thread imedozi sana, uto wametuacha mbaliUzi wa uto uliishia page ya 11 .. hawana mashabiki.
Simba Hoyeee
#Nguvu Moja
Cheka tuNimeishia kucheka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bhaelezeeee bhaelewe
Hatuboi hatupoi.
HatujaliSimba special thread imedozi sana, uto wametuacha mbali
Mkuu vipi wewe hujashangilia goal lilioibiwa Kule UEFA likaja kufungwa kwa mkapa na mdhunguMsimu huu Yanga ubingwa ni mwanzoni mwa raundi ya pili.
Eti Hyo special thread so whaaaaaat tunakiwasha humu humuHatujali
Duh! Haya bana.Eti Hyo special thread so whaaaaaat tunakiwasha humu humu