Ww nae umekazana hamna akili hamna akili sasa ww unazo??yani umekodoa macho kutazama ambao hawana akili,kweli huko utopoloni wenye akili wawili tuu kama tulivyoambiwaHii timu ndio mnayolalamika kufungwa na YANGA??
HAMNA AKILI
Kocha hamna humu aisee tunakazi sana msimu huu naona shida zipo pale pale tuWachezaji wazuri ila kocha wa kawaida
Hii timu haipati kitu huu msimu
Kocha hatuna.Timu haina balance
kwani imekuwa mizani?Timu haina balance
tatizo la mkude hana maamuzi ya haraka.Kiungo simba wanakatika sana...mkude kutoka ni hasara kwa simba...mnachezewa sana kati...naomba msaada hivi geita wamesajili mchezaj yyte wa kigen?
Lile goli Raila Odinga asingefungwaLile goli mmelionaaaaaaaa
Mbona kafungwa na rutoLile goli Raila Odinga asingefungwa
Topolo bhana sasa Yanga nayo ni Al Ashly?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kikosi hiko ndio kicheze na YANGA?? HAMNA AKILI
msajilini jangwaniLile goli Raila Odinga asingefungwa
huyu kocha wetu hana uwezoUnaachaje viktor akpan hata kweny sub hayupo unaweka mzamiru sub?
Waachie timu Yao mkuuTukiacha ushabiki, bado hii timu haichezi kitimu kabisa, wanacheza kama wameokotana hivi. Wanapoteza sana mipira pale katikati, tulisema hapa Simba waingie sokoni kurekebisha hii timu.
una nyege sana wewe dada.Tukiacha ushabiki, bado hii timu haichezi kitimu kabisa, wanacheza kama wameokotana hivi. Wanapoteza sana mipira pale katikati, tulisema hapa Simba waingie sokoni kurekebisha hii timu.
Tunataka mzinguuuLeo Phiri kaanza,enhee semeni kabisa nani mwengine hajaanza.
unatoa ushauri huku unaumiaTukiacha ushabiki, bado hii timu haichezi kitimu kabisa, wanacheza kama wameokotana hivi. Wanapoteza sana mipira pale katikati, tulisema hapa Simba waingie sokoni kurekebisha hii timu.