FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Hebu shusheni kikosi cha mbeya tuone kama yaliyomo yamo, tusije tukaacha hela bure
 
Kikosi cha Mbeya City kinachoanza dhidi ya Simba SC
 
Leo ni miongoni mwa siku ambazo washabiki wa timu ya Simba wanaangalia gemu huku m..vi yakigonga ch...i[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakati wowote mpira utaanza Uwanja wa Sokoine

00' Naaam mpira umeanza | Mbeya City 0-0 Simba SC
 
Mzamiru anapiga shutii lakini linatoka sentimita chache ya lango la City

Kufuatia mpira wa Kona..Iliyopigwa na Chama
 
05' Golikipa Manula yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kupata rabsha, ameinuka mpira unaendelea
 
08' Bocco anapiga shutii lakini linatoka nje na kuwa goal kick
 
Huyu Enonga anaweza kuchomesha tena kama alivyofanya kwa Singida
 
Pendekezo la kuunda Muungano fc ili kujaribu kumaliza unbeaten za Yanga lizingatiwe, bila timu zote kuungana kutengeneza timu moja unbeaten zitafika 379
 
Refa anawabeba waziwazi Simba hapa.. inonga amechezea mpira kizembe karibu na lango lake akapokonywa mpira ili mbeya city watie goli lakini mwamuzi kapuliza filimbi ya madhambi wakati reply inaonesha inonga hakuchezewa madhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…