Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
FULL TIME
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
80' Simba wanapambana lakini mambo yanakuwa magumu
78' Simba wapo nyuma kwa goli moja
60' Ngoma bado ngumu
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza
40' Mamelodi wanapambana kutafuta goli kwa nguvu
30' Simba Queens wanaonesha kuwa imara
Mchezo unaendelea
========
Leo majira ya saa 1:00 Usiku, pale nchini Morocco kutapigwa mchezo baina ya Mamelodi Sundowns Vs Simba Queens ya Tanzania.
Ni mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Africa kwa upande wa wanawake.
Ikumbukwe, Mamelodi ndiyo mabingwa watetezi wa michuano hii, hivyo Simba Queens leo atakuwa na kibarua kizito sana.
Hivyo ili uwe bingwa lazima upambane vizuri na kuwatoa mabingwa. Kila la heri kwa Simba Queens, hakuna kinachoshindikana na hata mkitolewa hatuna tunachowadai.
Nguvu Moja 🦁🦁🦁
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
80' Simba wanapambana lakini mambo yanakuwa magumu
78' Simba wapo nyuma kwa goli moja
60' Ngoma bado ngumu
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza
40' Mamelodi wanapambana kutafuta goli kwa nguvu
30' Simba Queens wanaonesha kuwa imara
Mchezo unaendelea
========
Leo majira ya saa 1:00 Usiku, pale nchini Morocco kutapigwa mchezo baina ya Mamelodi Sundowns Vs Simba Queens ya Tanzania.
Ni mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Africa kwa upande wa wanawake.
Ikumbukwe, Mamelodi ndiyo mabingwa watetezi wa michuano hii, hivyo Simba Queens leo atakuwa na kibarua kizito sana.
Hivyo ili uwe bingwa lazima upambane vizuri na kuwatoa mabingwa. Kila la heri kwa Simba Queens, hakuna kinachoshindikana na hata mkitolewa hatuna tunachowadai.
Nguvu Moja 🦁🦁🦁