chichiboy1
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 1,371
- 1,856
simba akiingus nusu anapata sh ngapi
Faulo za kadi refa anakaushaHuenda hawa kwakuwa ni defending champions Naona wanalindwa sana na refa
Team nyepesi jumlisha mbeleko ila boli pia wanalipiga ni vile simba ni timu ngumuHivi Hawa Mamelodi Walikuwa Wanashindaje 5?