FT: Mbeya Kwanza 0-2 Young African | Ligi kuu

Tunashinda kwa kishindo kikubwa sana huko huko mbeya
 
Watani nawaombea mpigwe hata goli 2 tu.
 
Hawa madogo wana mbwera sana mi ndo maana nawakubali ken gold
 
Mchezaji wa yanga akichezewa faulo, refa anapiga filimbi, mchezaji wa mbeya kwanza akichezewa faulo inatafsrika ni fair challenge
 
Kwani mayele mpaka acheze mpira, hakuna kibarua chochote pale jangwani anaweza akapewa apate chochote kitu?
 
Kuna dogo mmoja kawachambua hapa kama morrison sema tu ya morrison ilikua extraordinary
 
nimechungulia nimegundua kuna sate game hii, mtanistua game ikiisha.
 
Ntibayonzika anajiangusha mapema hivi, hii ni dalili gani bora refa umempuuza
 
Your browser is not able to display this video.
 
Imagine chama ndio anaangalia hii mechi halafu aanze kufikiria namna gani anaweza kuwa mzigo wote wa kuibeba timu upo mabegani mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…