FT: Mchezo wa kirafiki: Malindi SC 0-1 Simba SC

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Kama kawaida Kama Dawa. Mashabiki wa Simba Hatuna Dogo.

Tunakuletea Live uptdates Za Mechi Ya Kirafiki kati Ya Malindi Sc Ya Zanzibar Na Simba Sc.

01” Mpira Umeanza

05” Msc 0 SSC 0

13” MSC 0 SSC 1

20” MSC 0 SSC 1

23” Jimmyson Mwanuke Anaingia kuchukua nafasi ya PB aliye umia.

32” MSC 0 SIMBA SC 1

47” MSC 0 SSC 1

Simba Wanafanya Mabadiriko Anaingia Kibu Denis na Kanoute
 
Mkuu ni Malindi siyo Mlandizi waombe mode warekebishe
Kama kawaida Kama Dawa. Mashabiki wa Simba Hatuna Dogo.

Tunakuletea Live uptdates Za Mechi Ya Kirafiki kati Ya Malindi Sc Ya Zanzibar Na Simba Sc.

01” Mpira Umeanza

05” Msc 0 SSC 0

13” MSC 0 SSC 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…