🤣🤣All the best wananchiiiiiiiiiiiiiiiii Leo tunategemea burudani zaidi ya ta ta ta [emoji16][emoji16][emoji16]
Pira ikulu [emoji172][emoji169][emoji1787]
🤣🤣Kuna watu bado wamenuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila la kheri chama kubwa YangaHaya haya tukiwa kwenye dakika za lala salama Leo wanafainali wa kombe la shirikisho watavaana na Mbeya city pale jijini mbeya.
Mechi itaanza saa 10 kamili. Mechi hii ni muhimu zaidi Kwa upande wa Mbeya City kwani wakishinda itawanusuru na kushuka daraja. Lakini Kwa upande wa Yanga itatoa nafasi zaidi Kwa wale wachezaji ambao walikua hawapati nafasi mara Kwa mara.
Leo fundi Dickson Ambundo yupo ndani.... Kwa wazee wa mikeka hii game ipe Goli mbili plus hutakosa hela ya supu asubuhi kwa mama Amina pale na chapati zako tatu..
Kikosi cha Yanga kinachoanza ni hikiView attachment 2647874
😂😂 wanune tu.Kuna watu bado wamenuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pira IkuluNasikia Leo Yanga watacheza huku wamevaa medali za CAF [emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Hahhahahahahah naona akili bado hazijarudi we hujui Hadi ndege tumelipiwa na Taifa kwenda mbeya [emoji2957]Hivi furaha mnaitoa wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]