FT: NBC PREMIER LEAGUE: Mbeya City 3-3 Young Africans | 06/06/2023

Leo Yanga wanafurahia droo kweli muda unakimbia...
Mliwashiwa moto almanusura mkate kamba mshukuru penalty iliwarudisha mchezoni..
Tumewabeba wakaota Mazembe, hawabebeki, sasa washuke daraja tu hamna namna.

Subiri mechi na Prison hatufanyi tena mzaha huu kama wa leo, Nabi ndani na full squard, tunataka kupokea kombe letu kwa heshima.
 
Tumewabeba wakaota Mazembe, hawabebeki, sasa washuke daraja tu hamna namna.

Subiri mechi na Prison hatufanyi tena mzaha huu kama wa leo, Nabi ndani na full squard, tunataka kupokea kombe letu kwa heshima.
Muwashushe daraja walinzi wa mama yenu wakati mmetoka kula ubwabwa wake.
 
unamaanisha yanga inawachezaji wakawaida mpaka basi sio?
Kuna timu chache sana zenye uwezo wa kumiliki kikosi cha wachezaji wenye uwezo unao karibiana. Na mfano mzuri ni Man City ya Pep Guardiola.

Hata Real Madrid na ukubwa wake, bado ana wachezaji magarasa wa kutosha tu kwenye kikosi chake.
 
Sema Yanga tunazingua sana huyu golikipa njobola hafai kuwa Yanga. Nilijua walishamtema tangu kipindi kile mapinduzi zanzibar alikuwa kasimama kama mlingoti golini kumbe bado yupo.Viongozi mtakuja mdhalilishe hadhi ya klabu kwa kupanga kikosi cha kiboya boya.
 
Tumewabeba wakaota Mazembe, hawabebeki, sasa washuke daraja tu hamna namna.

Subiri mechi na Prison hatufanyi tena mzaha huu kama wa leo, Nabi ndani na full squard, tunataka kupokea kombe letu kwa heshima.
Kwakweli wacha washuke tuu..watu walitawala mchezo wanaleta ujinga kuruhusu mabao ma2 ya ziada...ile penat mm siihesabu
 
Yanga hakuna ilichopoteza na ingekuwa sio ratiba ngumu kwa wachezaji unadhani tungefungwa goli 3 na hao mbeya city!!!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Ahhhh Yanga [emoji460]️
Haahah ndo kauli mbiu tena mtani..hakuna mlichopoteza..mkumbuke mnapoteza legacy...
 
Tumewabeba wakaota Mazembe, hawabebeki, sasa washuke daraja tu hamna namna.

Subiri mechi na Prison hatufanyi tena mzaha huu kama wa leo, Nabi ndani na full squard, tunataka kupokea kombe letu kwa heshima.
Hata hivyo yanga kikosi kipana
 
NTIBAZONKIZA ANAWASILIMIA UTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KIATU KILE MSIMBAZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…